Lyrics to "nani" by Susan Of Gogo Simo
nani by Susan of Gogo Simo
najua ni wengi wanataka tutengane,
wataka tuwe mbali mbali, haitowezekana
haitokuwa, wajaribu kwengine.
sababu hakuna, cha maana hawana.
ya nini tuwe mbali mbali,
dhamira yao nini, watamenya wapi ili watufikie
chorus x2
ndio maana mi nasema,
nani atakaye jaribu,
kupitia njia ile,
nimpe mkono.
verse 2
penzi ni letu, si tulipokutana
hakuna ambaye alikuweko
ya nini mjitie, mjisumbue akili, na njia ni nyingi.
si mtafute wenu mzuri kama wangu,
ya nini tutiane khere, si kwamba si tambui, naelewa kila kitu,
mwanionea wivu.
chorus x2
bridge
(anipenda nampenda) x2
nishazama
sibanduki, habanduki
mtapanda mkishuka
tu imara
milele, na milele
*instrumental
chorus x4
najua ni wengi wanataka tutengane,
wataka tuwe mbali mbali, haitowezekana
haitokuwa, wajaribu kwengine.
sababu hakuna, cha maana hawana.
ya nini tuwe mbali mbali,
dhamira yao nini, watamenya wapi ili watufikie
chorus x2
ndio maana mi nasema,
nani atakaye jaribu,
kupitia njia ile,
nimpe mkono.
verse 2
penzi ni letu, si tulipokutana
hakuna ambaye alikuweko
ya nini mjitie, mjisumbue akili, na njia ni nyingi.
si mtafute wenu mzuri kama wangu,
ya nini tutiane khere, si kwamba si tambui, naelewa kila kitu,
mwanionea wivu.
chorus x2
bridge
(anipenda nampenda) x2
nishazama
sibanduki, habanduki
mtapanda mkishuka
tu imara
milele, na milele
*instrumental
chorus x4
"toka leo" lyrics by Susan of Gogo Simo
toka leo lyrics:
intro
uwe wangu x3
repeat set
verse 1
nimekuwa nikikutazama toka mbali kwa muda sasa
nikaamua uwe wangu wa ndani
sasa nitakueleza, sitoweza kuya weka ndani tena
nimejaliwa, ukaniona, haki huto niponyoka
nitahakikisha
chorus:
na toka leo
uwe mi wangu milele
na toka leo x2
verse 2:
nimekuwa nikitamka jina lako kwa muda sasa
huja wakati ukanijia ndotoni
sasa nimekueleza, ni raha kwangu
kujua wanipenda, nimejaliwa, ukaniona
haki nakupenda, na kesho tena
chorus x4
bridge
mahabuba nikupe langu penzi
mahabuba unipe lako penzi
chorus x4
na toka leo
uwe mi wangu milele
na toka leo x2
intro
uwe wangu x3
repeat set
verse 1
nimekuwa nikikutazama toka mbali kwa muda sasa
nikaamua uwe wangu wa ndani
sasa nitakueleza, sitoweza kuya weka ndani tena
nimejaliwa, ukaniona, haki huto niponyoka
nitahakikisha
chorus:
na toka leo
uwe mi wangu milele
na toka leo x2
verse 2:
nimekuwa nikitamka jina lako kwa muda sasa
huja wakati ukanijia ndotoni
sasa nimekueleza, ni raha kwangu
kujua wanipenda, nimejaliwa, ukaniona
haki nakupenda, na kesho tena
chorus x4
bridge
mahabuba nikupe langu penzi
mahabuba unipe lako penzi
chorus x4
na toka leo
uwe mi wangu milele
na toka leo x2